SERIKALI YABORESHA UTENDAJI TRC|ABIRIA ZAIDI YA MIL 2 WAHUDUMIWA 2020-2024

 

Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeboresha utendaji kazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kutekeleza ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), ununuzi wa mabehewa na kuongeza vichwa vya Treni. 

 

Jitihada hizo zimewezesha kuongeza usafirishaji wa shehena kutoka tani 340,000 mwaka 2020 na kufikia tani 1,683,994 kwa mwaka 2024. 

 

Abiria wameongezeka kutoka abiria 444,000 mwaka 2020 na kufikia abiria 2,252,406 mwaka 2024 huku kati ya abiria waliosafirishwa mwaka 2024, abiria wa masafa marefu walikuwa 381,573, abiria mijini 1,458,384 na abiria wa SGR 412,449.

 

#KhomeinTvUpdates

 

️ Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments