PM MAJALIWA ATETA NA VIONGOZI WIZARA YA ARDHI JAPAN

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Mei 27, 2025, amekutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii wa Japan, Hiromasa Nakano  kwenye Makao Mkuu ya Wizara hiyo Tokyo Japan

 

Aidha, Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Wawekezaji katika Sekta ya Miundombinu la Japan (JAIDA)  Miyamoto Yoichi pamoja na ujumbe wake ambapo wamejadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya uwekezaji kwenye sekta za Ardhi, Miundombinu pamoja na Usafirishaji.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments