GEITA KAZI YETU NI KUMCHAGUA MAMA SAMIA - DKT. BITEKO

 

“Tunakuchagua kwa sababu tunajua imani yetu, Matarajio yetu na uhakika wa Maisha yetu uko mikononi mwako Mgombea wa Urais kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan”. amesema Dkt. Biteko

 

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. Doto Mashaka Biteko ameyasema hayo Oktoba 13, 2025 mbele ya Mgombea Urais kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mkutano wake wa Kampeni uliofanyika Wilaya ya Chato, ikiwa ni sehemu ya Kampeni zake Mkoani Geita.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments