PM MWIGULU AKAGUA UHARIBIFU ULIOFANYWA NA WAANDAMANAJI OKTOBA 29, 2025

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 24, 2025 amekagua miundombinu ya usafiri wa mwendo kasi pamoja na mali nyingine zikiwemo zilizoharibiwa kutokana na  vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025 jijini Dar es Salaam.

 


Maeneo yaliyokaguliwa ni pamoja na Kituo cha Mafuta cha Puma kilichopo kimara baruti, vituo vya mwendo kasi vya Kimara Korogwe na Kimara Mwisho pamoja na kituo cha Mafuta cha Rupees kilochopo Kimara Stop Over.



 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu-Dsm

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments