RAIS SAMIA ADHIBITI ZAIDI FEDHA HARAMU

 

Fedha haramu ni janga linaloitesa dunia, ukweli wa hilo umemfanya Rais Samia Suluhu Hassan kumteua Majaba Magana kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU).

 

Magana anachukua  nafasi ya Fatma Simba. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka Disemba 13, 2024, kabla ya uteuzi huo Magana alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja Wakubwa katika Benki ya Azania.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments