SERIKALI YAONGEZA VITUO VYA AFYA NCHINI KWA 4.9%

 

Katika kipindi cha Januari hadi Juni 2024, vituo vya kutolea huduma za afya vimeongezeka kutoka 9,366 Disemba 2023 hadi kufikia 9,826 Juni 2024 sawa na ongezeko la asilimia 4.9 ambayo ni jumla ya vituo 460.

 

Ongezeko la vituo vya kutolea huduma za afya nchini limewezesha kusogeza huduma za afya karibu zaidi na wananchi kama inavyoelekeza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 - 2025.

 

Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments