TANZANIA SASA VIPIMO VIKUBWA VYA MAGONJWA NI VYA UHAKIKA

 

 

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuimarisha na kuboresha  upatikanaji wa vifaa tiba na uchunguzi wa magonjwa makubwa na madogo lengo likiwa ni kuendelea kutoa tiba stahiki kulingana na ugonjwa katika hospitali mbalimbali nchini.

 

Katika kipindi cha miezi saba kuanzia Januari -Juni  2024, jumla ya wagonjwa 531,861 walipatiwa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali.

 

Kwa mujibu wa takwimu kutoka wizara ya afya Wagonjwa waliotumia MRI ni 28,877, CT SCAN 38,778, Ultra Sound 237,201 na Digital X-Ray 227,005.

 

Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments