Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa halfa ya chakula cha mchana pamoja na washiriki wa zoezi la uokoaji wa ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa eneo la Kariakoo leo tarehe 30 Januari, 2025 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Aidha jengo la ghorofa kariakoo liliporoka tarehe 16 Novemba, 2024 ambapo Mhe Rais Dkt Samia alifika katika eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam November 20,2024 muda mfupi baada ya kurejea kutoka Brazil, ambapo alikagua shughuli za uokoaji na kisha kuongea na Wananchi.
#KhomeinTvUpdates
✍️ Mwandishi wetu
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments