Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imefanya mazungumzo na wawakilishi wa JOSPONG group of companies ya nchini Ghana, kwa lengo la kujadili namna bora ya udhibiti wa taka na usimamizi wa usafi wa mazingira mijini
Majadiliano hayo yamefanywa na Waziri Mohamed Mchengerwa katika ukumbi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI jijini Dodoma, Febriari 14,2025.
Kampuni hiyo imeonesha nia ya kuwekeza kwenye masuala ya huduma ya uthibiti wa taka na usimamizi wa usafi wa mazingira mijini.
Mchengerwa amefanya kikao kazi na wawekezaji hao ili kuwa na uelewa wa pamoja juu ya shughuli wanazozifanya katika eneo la udhibiti wa taka na usafi wa mazingira, ili kuona kama kuna haja ya kushirikiana kwa kuzingatia maslahi mapana ya taifa.
#KhomeinTvUpdates
✍️Mwandishi wetu
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments