SERIKALI YAKABIDHI MADARASA 18 BAHI

 

Kupitia mpango wa Shule bora, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongonzwa na  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na wadau wa elimu imekabidhi vyumba vya madarasa 18 na kutoa Tuzo za waandishi mahiri wa habari za mradi wa shule bora.

 

Hafla hiyo imefanyika Februari 06, 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma.

 

Aidha, Madarasa hayo yamekamilishwa  kwa ufadhili wa mradi wa Shule bora kutoka taasisi ya uk_aid na kukabidhiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI  Mohamed Mchengerwa mkoani humo.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments