YUSUF MBAKI, JUMBE BAKARI WATUNUKIWA TUZO MLIPAKODI BORA

 

Miongoni mwa Wafanyabiashara waliotunukiwa Tuzo za Mlipakodi Bora kwa mwaka 2023/2024, zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Januari 23, 2024 jijini Dar es Salaam, ni pamoja na Wafanyabiashara wa Mtwara ambao ni Yusuf Bakari Mbaki na Jumbe Bakari.

 


Hafla hiyo imeongozwa na mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam. 

 

#KhomeinTvUpdates 

 

️ Juma Mohamed

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments