WAZIRI MHAGAMA AKAGUA GHALA JIPYA LA KUHIFADHI VIFAA TIBA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais  Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kutekeleza ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo katika sekta ya afya ambapo ujenzi wa ghala la kuhifadhi bidhaa za Afya umekamilika kwa asilimia kubwa.

 


Waziri wa Afya Jenista Mhagama Februari 6, 2025 amekagua ghala hilo la kuhifadhi bidhaa za Afya linalotarajiwa kuzinduliwa rasmi na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan Aprili, 2025.

 


Jengo hilo linalojengwa na Bohari ya Dawa kanda ya Dodoma (MSD) lina ukubwa ya Sqm 7,200 na kugharimu zaidi ya shilingi bilioni 23.7.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments