WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI WIKI YA NISHATI JADIDIFU

 

Wizara ya Nishati chini ya uongozi wa Waziri mwenye dhamana Dkt. Doto Biteko, imeshiriki Wiki ya Nishati Jadidifu 2025 inayoendelea Mei 28,2025, jijini Dar es Salaam.

 

Wadau na Wageni mbalimbali wamehudhuria maonesho hayo, aidha wadau hao wametembelea Banda la Wizara na kupata elimu juu ya masuala mbalimbali ikiwemo umeme na Nishati Jadidifu.

 

 Wiki ya Nishati Jadidifu inafanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere (JNICC).

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments