INEC YAWAPIGA MSASA WASIMAMIZI UCHAGUZI 83 MBEYA NA SONGWE

 

Tume Huru ya Taifa Uchaguzi (INEC)  imewataka  wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya Mikoa , Kata na  Jimbo  kuhakikisha wanahepuka kuwa  chanzo cha  malalamiko  kutoka  kwa  vyama  vya  siasa  kwa  kuzingatia  mwongozo wa kusoma  Katiba,sheria  na kanuni  ili uchaguzi uwe  huru  na  haki.

 

Mkurugenzi wa Kitengo  cha  Huduma za Kisheria   Tume Huru Taifa  ya Uchaguzi (INEC)Mtibora Seleman  wakati  akifungua  mafunzo  kwa  waratibu wa uchaguzi ngazi za  Mikoa,wasimamizi wa  uchaguzi,wasimamizi wasidizi ngazi  ya  Jimbo sambamba na  maafisa   uchaguzi  na manunu.

 

Seleman amesema wapo  wadau  na  viongozi wa  serikali mkazingatie  haki  yao  na wajibu  wao na kuhepuka majibu mabaya.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu-Mbeya

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments