WANA UYOLE WAMCHUKULIA FOMU DKT. TULIA

 



Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya wamemchukulia fomu ya kuwania Ubunge Dkt. Tulia Ackson katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, 2025 wa kuchagua nafasi ya Rais, Wabunge na Madiwani

 

Akizungumza leo Jumamosi Juni 282,2025, baada ya kumchukulia fomu hiyo mkazi wa Jimbo la Uyole ,  Adil Mwansepele ametaja sababu iliyo  wasukuma kumchukulia fomu ni baada ya kuona utendaji wake wa kazi katika kipindi cha miaka mitano.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu-Mbeya

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments