Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Leo Aprili 3, 2025 atazindua Maandalizi ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI II).
Mpango huo utawezesha kuvutia uwekezaji wa nje na ndani, kusaidia kuongeza fursa za ajira, kuwezesha upatikanaji wa soko la kimataifa kwa bidhaa za ndani pamoja na kukuza ushindani na ubora wa bidhaa.
Tukio hilo linafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City Dar es Salaam.
#KhomeinTvUpdates
✍️Ofisi ya W.M
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments