KAMISHNA TANAPA ASHIRIKI KIKAO CHA HITIMISHO LA SHUGHULI ZA BUNGE LA 12

 

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA (T) Musa Nassoro Kuji, ameshiriki shughuli za hitimisho za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijiji Dodoma, Juni 27, 2025.

 

Rais Samia amehutubia Taifa saa tisa alasiri jijini humo na kufunga rasmi shughuli za Bunge hilo.

 

Kamishna Kuji ni miongoni mwa viongozi wa taasisi mbalimbali za umma walioalikwa kushuhudia tukio hili muhimu linaloashiria hitimisho la kipindi cha miaka mitano ya Bunge la 12, kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments