Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma Juni 15, 2025.
Hafla hiyo ya imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo aliyekuwa Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania Profesa Ibrahim Juma, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sambamba na viongozi wengine wa Chama na Serikali.
#KhomeinTvUpdates
✍️Mwandishi wetu
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments