RAIS SAMIA ASHIRIKI SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika Julai 6, 2025, katika Uwanja wa Malouzini, Jijini Moroni, 

 

Rais Samia amehudhuria sherehe hizo kufuatia mwaliko rasmi kutoka kwa Rais wa Comoro, Azali Assoumani, ambaye pia ni mwenyeji wa maadhimisho hayo, ambapo Dkt. Samia alikuwa mgeni rasmi.

 

Sherehe hizo zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Kimataifa, zikielezea mshikamano na uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Comoro.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments