Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Anne Sophie Ave.
Kikao hicho kimefanyika Julai 02, 2025 kwenye ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam, ambapo wameweza kujadiliana mambo mengi ya mahusiano kati ya Tanzania na Ufaransa.
#KhomeinTvUpdates
✍️Mwandishi wetu
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments