DC MTWARA AKAGUA ATHARI ZA MAFURIKO MANISPAA YA MTWARA

 

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Abdallah Mwaipaya, akiwa na kamati ya usalama ya Wilaya, ametembelea na kukagua maeneo yaliyopatwa na atahari za Mvua iliyonyesha kuanzia usiku wa Februari 3 na 4 mwaka huu, katika Manispaa ya Mtwara-Mikindani.

 


Mvua hiyo imesababisha baadhi ya maeneo ndani ya manispaa hiyo kufurika maji na kuingia kwenye makazi ya watu, huku maeneo mengine kuharibu miundombinu ya barabara na baadhi ya makazi.

 


#KhomeinTvUpdates 

 

✍️ Juma Mohamed-Mtwara

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments