Klabu ya soka ya Yanga ya Dar es Salaam Tanzania, imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wao Mjerumani Sead Ramovic na msaidizi wake Mustafa Kadro, kwa kile kilichoelezwa ni makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba.
Wakati huohuo Yanga imemtangaza Miloud Hamdi, kocha wa Singida Black Stars kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo kuchukua nafasi ya Ramovic.
✍️ Juma Mohamed
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments