Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba, amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa aliyoifanya nchini kwa kipindi chote cha miaka minne ya utawala wake.
Serukamba ametoa shukrani hizo kwa niaba ya wananchi wa Mkoa huo ambao kwa kipindi cha miaka minne ya utawala wa Rais Samia wameshuhudia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Afya, Elimu, Maji na Miundombinu.
#KhomeinTvUpdates
✍️Mwandishi wetu
PIA USIACHE KU SUBSCRIBE
CHANEL YETU Khomein TV
YOUTUBE UWE WA KWANZA
KUFIKIWA NA HABARI ZETU
Follow Insta & Threads @khomeintv_
Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok
@khomeintv na Facebook Khomein Tv
0 Comments