RAIS SAMIA AWASILI KILIMANJARO KUSHIRIKI MAZISHI YA CLEOPA MSUYA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya.

 


Rais Dkt. Samia amewasili mkoani humo leo Mei 12, 2025 na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa chama na serikali, ambapo kesho Mei 13, 2025 atashiriki maziko ya Hayati Mzee Cleopa Msuya, yatakayofanyika kijijini kwake wilaya ya Mwanga. 

 


#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Juma Mohamed

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments