ABUBAKAR MAARUFU BOKA PHARMACY ARUDISHA FOMU KIGAMBONI

 

Mwanasiasa kijana na mfanyabiashara maarufu, Abubakar Ally Abubakar, almaarufu Boka Pharmacy, ameonyesha dhamira yake ya kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni kwa kurudisha rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapunduzi - CCM.

 

 Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu, Abubakar amesisitiza kuwa lengo lake kuu ni kumsaidia Rais Samia na kuwatumikia wananchi wa Kigamboni ikiwa ni pamoja na kuleta mabadiliko chanya kwa jamii.

 

#KhomeinTvUpdates 

 

✍️Mwandishi wetu

 

PIA USIACHE KU SUBSCRIBE

CHANEL YETU Khomein TV

YOUTUBE UWE WA KWANZA 

KUFIKIWA NA HABARI ZETU

 

Follow Insta & Threads @khomeintv_

Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok

@khomeintv na Facebook Khomein Tv

Post a Comment

0 Comments